SERIKALI YA ZANZIBAR KUREKEBISHA SHERIA YA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar itaendelea kufanya mapitio na marekebisho ya sheria ya mfuko wa Hifadhi ya jamii Zanzibar (ZSSF) kwa lengo la kuzingatia maslahi ya watunishi wake. Mhe. Hemed, alieleza hayo wakati akaifungu kikao maalum cha kujadili utaratibu wa kukokotoa mafao ya watumishi
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed